WHY MOST MEN FACE LOW SPERM COUNT,DIS FUNCTION EJACULATION & PRE MATURE EJACULATION?

Image
As a  man , most times your partner expects you to  step up  to the game. She needs to see you as her only  satisfaction.  But because of  busy lifestyle ,  poor eating habits ,  hormonal imbalances ,  build-up of toxins ,  ageing ,  among other factors , you end up  under-performing  or  not performing  at all in the bedroom leaving your partner frustrated. It doesn’t have to be so.  Get back your strong exciting masculinity and prowess on the highest level courtesy this Superior Forever Living natural supplement. In my opinion, the best in the market. This is not  viagra …we only deal with food supplements packed with quality nutrients specific to bring out the  BEST  In you as a man naturally!!! If you are already  good  at it, better  yourself and maintain by taking them too!!! Here comes natural products 1. 2. How Maca Works With age and...

JE UNAFAHAMU SUMU ZIKIZIDI MWILINI NINI HUTOKEA?

   


Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chanzo halisi cha sumu hizi.

                     
                                VYANZO VYA SUMU 
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana  na

   1.Matumizi ya sigara

   2.Matumizi ya pombe (Alcohol)


   3.Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia


   4.Ukosekanaji wa lishe sahihi.


   5.Matumizi ya sigara Na pombe kali


   6.Uzito mkubwa uliopindukia


    7.Mtindo ya maisha






                              MADHARA YA SUMU  MWILINI




Mtu anapokuwa na sumu nyingi hupelekea

1.Kupunguza uwezo  wa kufikiria;

2. Vimbe  kwa ndani ya kizazi kwa  mwanamke

3. Mvurugiko wa homoni kwa  wanawake

4.Kuharibu figo, ini na mapafu

5. Matatizo ya  ngozi kwa mfano  chunusi, vipele.

6.Kukosa usingizi na kuwa mchovu

7.Uzito wa kupindukia

8.kutokupata choo au choo kigumu

9.Kupata miwasho

10.Tumbo kujaa gesi

11.Kichwa kuumwa mara kwa mara

12.Maumivu ya viungo kama vile mgongo,kiuno ,magoti n.k




                                SULUHISHO LA KUDUMU
Kwa watu wenye changamoto hii,Kampuni tumewaandalia program ya "Detox Pack" na virutubisho muhimu. Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba. Zimetengenezwa kutoka kwenye vyakula ambavyo tungefaa kula kila siku, na vina lishe kamili na virutubisho muhimu katika miili yetu inavyo hitaji ili iweze kutengeneza yenyewe afya bora na nadhifu. 

Hizo bidhaa zina mchanganyiko wa vitu vifuatavyoProteins, Vitamins, Minerals, Essential Fat Acid and Trace minerals.

Faida ya  kutumia Detox pack
  • Inaboresha kinga ya mwili
  • Husaidia kuweka homoni sawa sawa.
  • Virutubisho zinakuwa zinanyonywa vizuri mwilini
  • Inakufanya upate usingizi mzuri
  • Inasadia kuweka sawa mmeng’enyo wa Chakula.
  • Inapunguza kasi ya uzee
  • Inakupa nguvu ya kutosha 
  • Inasadia ubongo kufanya kazi vizuri
  • Inaondoa uvimbe wa ndani na nje.


                    

Program hii ni muhimu sana kwa watu wa rika zote hasa katika kuimarisha kinga ya mwili na kuongeza vitamini mwilini. Matokeo yanaweza kutofautiana.


                 
                      FAIDA ZINGINE  ZA  KUTUMIA DETOX PACK
🔶Inachukua siku tisa.
🔶Huondoa taka mwilini .

🔶Inakufanya ujisikie active.

🔶Inasafisha ngozi yako.

🔶 Inakupunguza kidogo kwa sababu ya sumu.

🔶 Haina madhara yeyote.
🔶Inatumiwa na watu wa rika zote

Pia Program zetu za lishe zimethibitishwa na  mashirika ya kuthibiti ubora wa viwango vya bidhaa duniani. Na kwa hapa Tanzania, zimethibitshwa na mamlaka ya chakula na madawa (TFDA). Tunapatikana Victoria,dar es salaam (HEAD QUARTERS)


Kwa yeyote anayehitaji hii program ya kudetox na  ushauri wa kuimarisha afya   wasiliana na mtaalamu wetu. Kwa kupata mafunzo zaidi kuhusiana na afya ya kuimairisha afya  jiunge na group la whatsapp; 
https://chat.whatsapp.com/7ciYIZazL1qA2laVWesjfh



Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU MADHARA YA KUWA NA UZITO MKUBWA

WHY MOST MEN FACE LOW SPERM COUNT,DIS FUNCTION EJACULATION & PRE MATURE EJACULATION?

UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI - HEMORRHOIDS